SOMO: KUVUKA NG’AMBO YA PILI..... na ASKOFU: CHALRES KARIUKI – KENYA


SOMO: KUVUKA NG’AMBO YA PILI
Baada ya Yesu kuhubiri kukawa usiku, akauacha mkutano na kuwaambia wanafunzi wake wavuke ng’ambo. Marko 4:35 “Siku ile kulipokuwa jioni, akawaambia, Na tuvuke mpaka ng’ambo.”Kule ng’ambo kuna vitu vikubwa sana.
Share:

Huwezi kusimama kinyume na ibilisi bila NGUVU ya Mungu.....Mtume na Nabii: Josephat Elias Mwingira

.Mtume na Nabii: Josephat Elias Mwingira

Huwezi kusimama kinyume na ibilisi bila NGUVU ya Mungu. Unaweza kuona watu waliokoka kama ni watu waliopoteza muelekeo, ambao wamejaa na matatizo na mahangaiko ya kila aina, lakini hiyo si kweli, ukweli wa mambo ni kuwa watu waliiokoka ni washindi. Warumi 8:37 “Lakini katika mambo hayo yote tunashinda, na zaidi ya kushinda, kwa yeye aliyetupenda. ”
Share:

UWEZA WA JINA LA YESU 6.... na Mwl Christopher Mwakasege,



                                                    SURA YA SITA

        UMUHIMU WA KUWEKA IMANI YAKO KATIKA
                                JINA LA YESU KRISTO        
     
“Basi Petro na Yohana walikuwa wakikwea pamoja kwenda hekaluni, saa ya kusali, saa tisa. Na mtu mmoja aliyekuwa kiwete toka tumboni mwa mamaye alichukuliwa Na watu, ambaye walimweka kila siku katika mlango WA hekalu uitwao Mzuri, ili aombe sadaka kwa watu waingiao ndani ya hekalu. Mtu huyu akiwaona Petro na Yohana wakiingia hekaluni aliomba apewe sadaka. Na Petro, akimkazia macho, pamoja na Yohana, akasema, tutazame sisi. Akawaangalia, akitaraji kupata kitu kwao. Lakini Petro akasema, Mimi sina fedha, wala dhahabu, lakini nilicho nacho ndicho nikupacho. Kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareti, simama uende. Akamshika mkono wa kuume, akamwinua, mara nyayo zake na vifundo vya miguu yake vikatiwa nguvu. Akaondoka upesi akasimama, akaanza kwenda; akaingia ndani ya hekalu pamoja nao, akienda, akiruka-ruka, na kumsifu Mungu.”  (matendo ya mitume 3:1-8)
Share:

UWEZA WA JINA LA YESU 5.... na Mwl Christopher Mwakasege,

    SURA YA TANO

OMBA KWA JINA LA YESU KRISTO

KILA mkristo anapenda awe na maisha ya maombi yaliyo na mafanikio – anapenda akiomba kitu kwa Mungu ajibiwe. Lakini mara nyingi nimewasikia wakristo kadhaa wakisema wameomba jambo Fulani kwa Mungu lakini hawajajibiwa. Wengine wanapofikia hali ya namna hii, hukata tama – hata wokovu unaanza kupoa utamu wake.
Share:

UWEZA WA JINA LA YESU 4.... na Mwl Christopher Mwakasege,

    SURA YA NNE

                        MAMLAKA ULIYONAYO UNAPOLITUMIA JINA LA YESU KRISTO!

      Kwa hiyo tena Mungu alimwadhimisha mno, akamkirimia Jina lile lipitalo kila jina; ili kwa jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi; na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO NI Bwana, kwa utukufu wa Mungu Baba.”  (Wafilipi  2:9-11)
Share:

UWEZA WA JINA LA YESU 3.... na Mwl Christopher Mwakasege,

  SURA YA TATU
YESU KRISTO – JINA LA MWANA WA MUNGU

Malaika Gabriel alitumwa na Mungu kwenda mpaka mji wa galilaya, unaoitwa nazarethi, kwa mwanamwali bikira aliyekuwa ameposwa na mtu aliyeitwa Yusufu. Malaika Gabriel alipofika nyumbani kwa mariamu alimpa ujumbe wa Mingu yakiwemo maneno haya;
      “Tazama, utachukua mimba na kuzaa mtoto mwanamume; na jina lake utamwita Yesu. Huyo atakuwa mkuu, ataitwa Mwana wa Aliye juu, na Bwana Mungu atampa kiti cha enzi cha Daudi, baba yake. Ataimiliki nyumba ya Yakobo hata milele, na ufalme wake utakuwa hauna mwisho” (Luka 1:31-33).
Share:

UWEZA WA JINA LA YESU 2.... na Mwl Christopher Mwakasege,

   SURA YA PILI

                     NGUVU UNAYOPATA UNAPOTAFAKARI JUU YA JINA LA YESU KRISTO
“Kitabu hiki cha torati kisiondoke kinywani mwako, bali yatafakari maneno yake mchana na usiku, upate kuangalia kutenda sawasawa na maneno yote yaliyoandikwa humo; maana ndipo utakapoifanikisha njia yako, kisha ndipo utakapositawi sana” yoshua 1:8
Share:

UWEZA WA JINA LA YESU 1.... na Mwl Christopher Mwakasege,

        Sura ya Kwanza

                      JINA LA YESU KRISTO – MOJAWAPO YA FUNGUO ZA UFLME WA MBINGUNI.
“Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda.
Nami nitakupa wewe funguo za ufalme wa mbinguni; Na lo lote utakalolifunga duniani, litakuwa limefungwa mbinguni; Na lo lote utakalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwa mbinguni.” (mathayo 16:16-18)
Share:

UWEZA WA JINA LA YESU... na Mwl Christopher Mwakasege,

Utangulizi


UWEZA WA JINA LA YESU

Mtume Paulo anasema katika Waraka wake kwa Wakolosai sura ya tatu na mstari wa kumi na saba kuwa; “Na kila mfanyalo, kwa neno au kwa tendo, fanyeni yote katika JINA LA BWANA YESU, mkimshukuru Mungu Baba kwa yeye.”
Share:

BABA YUPO NASI

BABA YUPO NASI

Popular Posts

Search This Blog

Recent Posts

Unordered List

  • Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit.
  • Aliquam tincidunt mauris eu risus.
  • Vestibulum auctor dapibus neque.

Pages